Na Mwandishi Wetu
MGOMBEA Ubunge Jimbo la Mbagala Shija Richard amechukua fomu ya kuwania kiti hicho.
Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Temeke Richard alisema lengo kuu ni kushirikiana na wana-Mbagala katika kuwaletea maendeleo .
Amesema kuwa anahitaji kushirikiana Serikali ya Awamu ya Tano katika kuleta maendeleo kwa wana Mbagala na taifa kwa ujumla.
Richard alisema pia atahakikisha anaisimamia ilani ya chama cha Mapinduzi katika utekelezaji.
More Stories
Dkt.Mabula aomba mabonde Ilemela yatumike kwa Kilimo cha umwagiliaji
Ubovu wa barabara mlima Kilimanjaro, changamoto watalii kufikia vivutio vya utalii
Rais Samia afuturisha Makao ya watoto Kikombo