May 3, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Shamrashamra za Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani yafana Zanzibar(Pichani)

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Riziki Pembe Juma akisalimiana na Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Majira, Imma Mbuguni katika Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani leo yanayofanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kilichopo Tunguu, Wilaya ya Kusinii Unguja. (Na Mpigapicha Wetu)

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Abeda Rashid Abdallah (aliyeketi) akisalimiana na Mhariri Mtendaji wa Majira katika Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani leo yanayofanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kilichopo Tunguu, Wilaya ya Kusinii Unguja. (Na Mpigapicha Wetu)

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Riziki Pembe Juma, akijadiliana jambo na Mkuu wa Wilaya Kusini Unguja, Rajab Mkasaba(koshoto) wakati wa  Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani leo yanayofanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kilichopo Tunguu, Wilaya ya Kusinii Unguja. (Na Mpigapicha Wetu)

Maafisa Uhusiano wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Maulid Yussuph(kushoto) na Salma Lusangi wakijadiliana jambo wakati wa  Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani leo yanayofanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kilichopo Tunguu, Wilaya ya Kusinii Unguja. (Na Mpigapicha Wetu)

Baadhi ya wazee wakisikiliza kinachoendelea katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani leo