Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online, Uturuki
CHUO Kikuu cha Ankara, kimemtunua Rais Samia Suluhu Hassan Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Uchumi kwa kutambua uongozi wake wa kipekee katika kuendeleza mageuzi ya kijamii, kisiasa na kiuchumi ambayo yameboresha ustawi wa jamii. Â
Rais Samia alitunukiwa shahada hiyo ya Heshima ya Udaktari (Honoris Causa) leo na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ankara nchini Uturuki, Profesa Necdet Unuvar kwenye hafla iliyofanyika Chuoni hapo jana.




More Stories
Kamati ya kudumu ya Bunge ya utawala,katiba na sheria yaridhishwa ujenzi soko Kariakoo
TRA Tanga yakusanya bil.178.3 kwa miezi sita
Wataalam Sekta ya utalii watakiwa kufanya kazi kwa uadilifu,kujituma na kuwa wabunifu