MWENYEKITI wa Chama Cha Mapindizi (CCM), Samia Suluhu Hassan,ambaye pia ni Rais wa Jamhuria ya Muungano wa Tanzania, akifungua semina ya mafunzo kwa ajili ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) leo Unguja , Zanzibar. (Picha na CCM Makao Makuu)
Mafunzo hayo yanafanyika kwa siku mbili ikiwa na lengo la kuendelea kuwajengea uwezo wajumbe pamoja kuimarisha Chama Cha Mapinduzi.Â
More Stories
Dkt.Yonanzi:Nyumba zinazojengwa Hanang’ ziwekwe anwani za makazi
Miaka 20 jela kwa kuhujumu TANESCO
Mfumo wa e-Board umeboresha uendeshaji vikao Ilemela