May 5, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Samia afungua mafunzo Halmashauri Kuu CCM Taifa (HABARI PICHA)

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapindizi (CCM), Samia Suluhu Hassan,ambaye pia ni Rais wa Jamhuria ya Muungano wa Tanzania, akifungua semina ya mafunzo kwa ajili ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) leo Unguja , Zanzibar. (Picha na CCM Makao Makuu)

Mafunzo hayo yanafanyika kwa siku mbili ikiwa na lengo la kuendelea kuwajengea uwezo wajumbe pamoja kuimarisha Chama Cha Mapinduzi.Â