Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais Samia Suluhu Hassan amefika Wilaya ya Nyasa kwa takribani zaidi ya miaka 14 hakuna Rais aliyewahi kukanyaga huku.
Rais Samia amefika pasipofika kwa kuwajengea barabara na huduma za maendeleo.
Post Views: 309
More Stories
Rungwe yajenga soko kukuza uchumi kwa wananchi
Waislamu Mwanza wapokea Ramadhani kwa maandamano ya kidini
Kamati ya kudumu ya Bunge ya utawala,katiba na sheria yaridhishwa ujenzi soko Kariakoo