Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali katika Maadhimisho ya miaka 25 ya Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Barani Afrika (WiLDAF) kwenye hafla iliyofanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Oktoba, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwapa Tuzo baadhi ya Waanzilishi wa Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Barani Afrika WiLDAF pamoja na vyeti kwa wadau waliofanikisha maendeleo ya Shirika hilo kwenye Maadhimisho ya miaka 25 ya kuanzishwa kwa Shirika hilo kwenye hafla iliyofanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Oktoba, 2022. Wageni mbalimbali waliohudhuria Maadhimisho ya miaka 25 ya Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Barani Afrika WiLDAF kwenye hafla iliyofanyika Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Oktoba, 2022. Bendi ya Bahati ikitumbuiza kwenye Maadhimisho ya miaka 25 ya Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Barani Afrika WiLDAF katika hafla iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Oktoba, 2022. Post Views: 402 Continue Reading Previous IGP Wambura afanya mabadiliko ya makamandaNext Agri-Connect kuongeza kipato kwa wanawake na vijana More Stories 1 min read Habari TCAA washiriki maadhimisho ya MEI MOSI May 1, 2024 Jackline Mkota 3 min read Habari Mbunge aeleza athari za kutisha za mafuriko Ulanga May 1, 2024 Penina Malundo 2 min read Habari Kitaifa JKT yazindua Boti yake kuongeza tija katika ulinzi,uzalishaji May 1, 2024 joyce kasiki
More Stories
TCAA washiriki maadhimisho ya MEI MOSI
Mbunge aeleza athari za kutisha za mafuriko Ulanga
JKT yazindua Boti yake kuongeza tija katika ulinzi,uzalishaji