Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu UAE na Mtawala wa Dubai Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum mara baada ya kuhutubia katika Maonesho ya Dubai Expo 2020 yanayoendelea katika Mji wa Dubai leo tarehe 26 Februari, 2022. Picha na Ikulu Â
More Stories
VETA yatengeneza Simu yake ya kwanza
Serikali:Elimu ya ujuzi yaanza kuzaa matunda
ITA Yatumia Maonesho Kuhamasisha Vijana Kusoma Kodi