Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu UAE na Mtawala wa Dubai Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum mara baada ya kuhutubia katika Maonesho ya Dubai Expo 2020 yanayoendelea katika Mji wa Dubai leo tarehe 26 Februari, 2022. Picha na Ikulu Â
More Stories
Tanzania,Misri zaainisha maeneo ya Kipaumbele ya Ushirikiano wa Maendeleo
Wakuu wa shule 49 Zanzibar watembelea Paradise Mission
Watuhumiwa 10 mbaroni kwa utapeli