Na Mwandishi Wetu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, kesho Ijumaa atakuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT).
Mkutano huo utafanyika katika uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma huku watu wote wakitakiwa kuzingatia na kuchukua tahadhari zote za kujikinga na ugonjwa wa Covid-19 wakati wa tukio hilo.

More Stories
ALAF yaweka rekodi mpya kwenye tuzo za PMAYA
Makamba:Mradi Mpomvu,GGM kuimarisha upatikanaji umeme Geita
Aweka shahada kando,ageuza ngozi kuwa ajira