


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Burundi Mheshimiwa Evariste Ndayishimiye wakifurahia mara baada ya pamoja kufungua jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akizungumza jambo na mgeni wake Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye wakati akimtambulisha kwa baadhi ya Mawaziri wa Tanzania katika uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma leo. Picha zote na Ikulu
More Stories
Puma Energy Yazindua Mradi wa Umeme wa Jua kwa Kiwanda cha Alliance One
Majaliwa Azindua Ujenzi wa Makao ya TBS, Ataka Miundombinu Kukamilika Haraka.
Mkuu wa JKT awatoa hofu wazazi asema,JKT ni mahali salama