
Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa katika mazungumzo na Balozi wa Mpya wa Jamhuri ya Msumbiji nchini Tanzania Mhe.Ricardo Amrosio Mtumbuida wakati alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha leo akiwepo na Balozi Mdogo wa Jamhuri ya Msumbiji ayefanyia kazi Zanzibar Mhe.Agostino Abacar Trinta (kushoto).Picha na Ikulu


Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akibadilishana mawazo na mgeni wake Balozi wa Mpya wa Jamhuri ya Msumbiji nchini Tanzania Mhe.Ricardo Amrosio Mtumbuida baada ya mazungumzo wakati alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha leo.
More Stories
TMA yatoa tahadhari uwepo wa Kimbunga “JUDE”
PPRA yawanoa Wakaguzi wa Ndani matumizi Mfumo wa NeST
Mhandisi Mramba:Kuuza na kununua umeme ni jambo la kawaida kwa nchi