Profesa Joyce Ndalichako akipokea fomu za kuomba kuteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kugombea ubunge katika Jimbo la Kusulu Mjini mwishoni mwa wiki. Uchaguzi wa madiwani, wabunge na urais unatarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu. Na mpiga picha wetu.
More Stories
Vyombo vya ulinzi na usalama Mbeya,Benki kuu kushirikiana kutatua changamoto za utapeli mtandaoni
Polisi Mbeya kuimarisha ulinzi kuelekea sikukuu ya Pasaka
BAKWATA yawazawadia washindi wakuhifadhi Qur’an