Profesa Joyce Ndalichako akipokea fomu za kuomba kuteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kugombea ubunge katika Jimbo la Kusulu Mjini mwishoni mwa wiki. Uchaguzi wa madiwani, wabunge na urais unatarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu. Na mpiga picha wetu.
More Stories
PPRA yawanoa Wakaguzi wa Ndani matumizi Mfumo wa NeST
Mhandisi Mramba:Kuuza na kununua umeme ni jambo la kawaida kwa nchi
NCAA:Filamu za ‘Royal Tour’,Amaizing Tanzania zimechangia ongezeko la watalii Ngorongoro