Waziri Mkuu wa Zamani, Mizengo Pinda akipata ufafanuzi kutoka kwa mgunduzi wa mita akimuelezea jinsi mita hiyo inavyotoa taarifa pale maji yanamwagika hovyo mtaani na unlipia maji kabla ya kuyatumia wakati alipotembelea banda la Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) kwenye maonesho ya 46 ya Sabasaba.
More Stories
Mil.80 kujenga stendi ya maloriÂ
MD Twange atoa onyo kwa wezi wa miundombinu ya umeme
WRRB yaanza uimarishaji mfumo stakabadhi za ghala