Waziri Mkuu wa Zamani, Mizengo Pinda akipata ufafanuzi kutoka kwa mgunduzi wa mita akimuelezea jinsi mita hiyo inavyotoa taarifa pale maji yanamwagika hovyo mtaani na unlipia maji kabla ya kuyatumia wakati alipotembelea banda la Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) kwenye maonesho ya 46 ya Sabasaba.
More Stories
Kihongosi:Viongozi msitunishiane misuli
Airtel, ZECO zaingia ushirikiano kuimarisha Huduma za Kidigitali
MSD kujenga ghala la kisasa lenye mita za mraba 3,900