Waziri Mkuu wa Zamani, Mizengo Pinda akipata ufafanuzi kutoka kwa mgunduzi wa mita akimuelezea jinsi mita hiyo inavyotoa taarifa pale maji yanamwagika hovyo mtaani na unlipia maji kabla ya kuyatumia wakati alipotembelea banda la Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) kwenye maonesho ya 46 ya Sabasaba.
More Stories
Dkt.Lingwanda apongeza ubunifu wa vijana katika maonesho ya NACTVET
BRELA yawahimiza wabunifu kusajili bunifu zao mapema
TBS yataka biashara ya chakula,vipozi zisajiliwe