Na. Ashura Jumapili, Timesmajira Bukoba, Watuhumiwa watatu wa mauaji ya watu saba wa familia moja yaliyotokea Novemba 13 mwaka huu...
Na Joyce Kasiki,Timesmajira online ,Dodoma Licha ya serikali kutatua changamoto ya vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa wanafunzi wasioona,lakini bado...
KAMPENI ya Maokoto ndani ya kizibo inayoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti Breweries (SBL) imeendelea kuwa chachu ya maendeleo...
Alama za pundamilia (mistari iliyochorwa barabarani) na picha ya pundamilia ishara inayoashiria kuwa eneo hilo ni kivuko cha watembea kwa...
Na Mwandishi wetu, Timesmajira Online ROMBO Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo ameshiriki mashindano...
Na Allan Vicent, TimesMajira Online, Tabora JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Tabora wamempongeza Rais wa awamu...
Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani nchini kimesema zipo sheria zinazotoa miongozo na taratibu...
Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema kuwa kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi...
-Mwenyekiti wa Bodi ya NSSF amesema kitapunguza nakisi ya Sukari nchiniNa Mwandishi Wetu, TimesMajira Online, Morogoro Bodi ya Wadhamini ya...
Na Mary Margwe, TimesMajira Online, Hanang Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mkoani Manyara Janeth Mayanja amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa...