Na Esther Macha, Timesmajira Online, Mbeya SERIKALI imeeleza kuwa maboresho yaliofanyika katika hospitali za Rufaa za Mikoa nchini,yamesaidia kupunguza gharama...
Na Heri Shaaban, TimesMajira Online MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amemwelekeza Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam,...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajiraionline, Zanzibar WATUMISHI wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), wameshiriki Kongamano la tatu la ufuatialiaji na...
Na Yusuph Mussa,Timesmajiraonline,Korogwe MAMLAKA ya Mapato Tanzania(TRA)Mkoa wa Tanga imewataka Watanzania kuonesha uzalendo kwa kufichua watu wanaofanya biashara ya magendo,kwani...
Na Mwandishi Wetu,Timesmajiraonline,Dar VIJANA kuanzia wanaohitimu elimu ya msingi hadi vyuo vikuu wanawaza kukimbilia mijini kutafuta fursa za kuwaingizia kipato...
Na Agnes Alcardo, Timesmajira Online. Dar MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewataka viongozi wa Chama na Serikali ngazi...
*Barabara ya Kakonko hadi mpaka wa Burundi kujengwa kwa lami, Kakonko yazalisha ziada ya chakula tani 81,000, ahimiza wananchi kuendelea...
Na Jackline Martin RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano wa 11 wa Taasisi ya Merck Foundation...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga Septemba 17, 2024,ameshuhudia fainali ya mashindano ya kombe la Doto...
Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online, Makete Benki ya NMB imekabidhi vifaa tiba ikiwemo vitanda na mashuka katika Zahanati ya Kijiji...