Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
MKUU wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge, amemuapisha Nickson Simon maarufu kama ‘Nikki wa Pili’ kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe akichukua nafasi ya Jokate Mwegelo ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.
Zoezi la kuapishwa limefanyika leo kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani iliyopo Kibaha.
More Stories
Kamishina TRA avitaka Viwanda viwili Mkuranga kulipa kodi inayostahili
Jimbo la Kibakwe wafanya ibada kuiombea nchi na viongozi wake
Naibu Meya Masaburi apewa uanachama wa heshima umoja wa LITONGO