Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
MKUU wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge, amemuapisha Nickson Simon maarufu kama ‘Nikki wa Pili’ kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe akichukua nafasi ya Jokate Mwegelo ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.
Zoezi la kuapishwa limefanyika leo kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani iliyopo Kibaha.
More Stories
The Desk and Chair yatoa vifaa saidizi kwa Masatu na mkewe
jengo la mama,mtoto la bilioni 6.5 lazinduliwa Mbulu
Dkt.Malasusa ataka hospitali ya Haydom kuombea wafadhili wanaoishika mkono