Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
NIC Insurance imekabidhi hundi ya shilingi milioni 40 kwa Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Mohamedi Mchengerwa ikiwa ni zawadi na motisha kwa wachezaji wa timu ya Serengeti Girls kufika hatua ya nusu fainali kwenye michuano ya kombe la dunia nchini India.



More Stories
TFF yatinga na safu tatu mpya
Mkazi Kisarawe ashinda Mil. 100, Kampeni ya ‘Tunasherehekea Pamoja’
Ajinyakulia Mil. 5/- Kampeni ya Yas ‘tunasherehekea mwaka mmoja’