Na Agnes Alcardo, Timesmajira Online
HALMASHAURI kuu ya CCM Taifa ( NEC) imefanya uchaguzi wa wajumbe wanne ambao ni Namelock Edward, Dkt. Juma Abdallah, Salim Faraj Abri ( Asas) na Hamad Chande.
Uchaguzi huo umefanyika leo Mei 28, 2025 kwenye kikao maalumu cha NEC kilichofanyika Jijini Dodoma.

More Stories
Serikali yajipanga kukabiliana na athari za El Nino
Wadau watakiwa kushirikiana Kuhifadhi Ziwa Tanganyika
Miaka 50 ya Tantrade kusherehekewa kwa kishindo