Na Agnes Alcardo, Timesmajira Online
HALMASHAURI kuu ya CCM Taifa ( NEC) imefanya uchaguzi wa wajumbe wanne ambao ni Namelock Edward, Dkt. Juma Abdallah, Salim Faraj Abri ( Asas) na Hamad Chande.
Uchaguzi huo umefanyika leo Mei 28, 2025 kwenye kikao maalumu cha NEC kilichofanyika Jijini Dodoma.

More Stories
Msigwa:Usikubali kumsajilia mtu laini ya simu
Fahari ya Z’bar 2026 kuwakutanisha wazalishaji zaidi ya 300
Rais Mwinyi azitaka nchi za NAM kuunganisha sauti