Na Agnes Alcardo, Timesmajira Online
HALMASHAURI kuu ya CCM Taifa ( NEC) imefanya uchaguzi wa wajumbe wanne ambao ni Namelock Edward, Dkt. Juma Abdallah, Salim Faraj Abri ( Asas) na Hamad Chande.
Uchaguzi huo umefanyika leo Mei 28, 2025 kwenye kikao maalumu cha NEC kilichofanyika Jijini Dodoma.

More Stories
Serikali yakabidhi Pampu 52 za umwagiliaji kwa wakulima
Mwanasheria Mkuu wa Serikali awasilisha muswada wa marekebisho ya sheria
Airtel yatoa elimu ya Usalama dhidi ya Matapeli wa Mtandao