Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu),Ummy Nderiananga, amewasilisha salamu za pole kwa niaba ya Serikali kwa familia ya William Lukuvi kufuatia msiba wa mdogo wake, Mtwa Xavier Lukuvi.
Ibada ya mazishi imefanyika tarehe 7 Juni 2025 katika Kijiji cha Mapogoro, Iringa Vijijini na kuhudhuriwa na viongozi wa chama, wananchi wa Jimbo la Isimani pamoja na ndugu wa marehemu.









More Stories
Bilioni 7 kuwainua vijana 308 sekta ya uvuvi
Clara:Miaka 50 ya Sabasaba fursa mpya za Biashara na Uwekezaji
Usajili wa Laini za Simu: Jilinde Dhidi ya Kutumiwa Vibaya kwa Utambulisho Wako