Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu),Ummy Nderiananga, amewasilisha salamu za pole kwa niaba ya Serikali kwa familia ya William Lukuvi kufuatia msiba wa mdogo wake, Mtwa Xavier Lukuvi.
Ibada ya mazishi imefanyika tarehe 7 Juni 2025 katika Kijiji cha Mapogoro, Iringa Vijijini na kuhudhuriwa na viongozi wa chama, wananchi wa Jimbo la Isimani pamoja na ndugu wa marehemu.








More Stories
Shekhe Mavumbi ahamasisha waislamu kupiga kura
Kiongozi wa Mwenge apongeza wananchi kupelekewa huduma ya maji Handeni
TFS yawakaribisha wawekezaji katika vivutio vya utalii wa misitu