Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
MKONGWE wa Tasnia ya maigizo nchini Mohammed Fungafunga maarufu kama Mzee Jengua amefariki dunia asubuhi leo Desemba 15,mwaka huu, huko Mkuranga, mkoani Pwani.

Marehemu alikua akisumbuliwa na Maradhi ya Kupararaizi.
Enzi za uhai wake, Mzee Jengua alikua akiigiza Maigizo kama vile Kidedea, Handsome wa Kijiji, Kashinde na zingine nyingi.
Mungu aiweke roho yake mahala pema

More Stories
Mfanyabiashara,vibarua mbaroni wakituhumiwa kuchimba mahandakiÂ
Silinde azindua baraza la sita la Wafanyakazi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
NMB ilivyosaidia Serikali kukusanya zaidi ya Sh trilioni 9.8