Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
MKONGWE wa Tasnia ya maigizo nchini Mohammed Fungafunga maarufu kama Mzee Jengua amefariki dunia asubuhi leo Desemba 15,mwaka huu, huko Mkuranga, mkoani Pwani.

Marehemu alikua akisumbuliwa na Maradhi ya Kupararaizi.
Enzi za uhai wake, Mzee Jengua alikua akiigiza Maigizo kama vile Kidedea, Handsome wa Kijiji, Kashinde na zingine nyingi.
Mungu aiweke roho yake mahala pema
More Stories
Lushoto watakiwa kumuunga mkono Rais Samia kuimarisha elimu
Zaidi ya bilioni 100 zatolewa kwa ajili ya madaraja 13,Lindi
Serikali kupeleka milioni 100 kwa ajili ya kituo cha afya Saranga