Na Heri Shaaban, Timesmajira Online -Mwanza
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa UVCCM Mtaa wa Rada Kata ya Majohe,Fatuma Akhim,ajitosa kuchukua fomu kugombea nafasi ya Udiwani wa Viti Maalum Wanawake wilaya ya Ilala.
Akizungumza na waandishi wa habari,mara baada ya kuchukua fomu,Akhim, amesema,amejiona anatosha kuwatumikia wanawake wa Wilaya ya Ilala.
“Nimekuwa kiongozi wa Umoja wa Vijana kwa vipindi tofauti, pia nimekuwa Katibu wa kupinga ukatili kwa muda mrefu,sasa nimejipima naona natosha kushika wadhifa huo,”.

More Stories
Usajili wa Laini za Simu: Jilinde Dhidi ya Kutumiwa Vibaya kwa Utambulisho Wako
TTCL yaadhimisha siku ya Wanawake kwa kutoa msaada JKCI
Wananchi Dodoma washauri TBA kujenga nyumba za kupangisha watu binafsi