March 7, 2026

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Mpina,Othman wapokelewa kwa kishindo Unguja

Na Mwandishi wetu,Timesmajira

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACT Wazalendo,Luhaga Mpina, Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Fatma Ferej na Mgombea wa Urais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman wamepokelewa na maelfu ya wanachama wa ACT Wazalendo na wananchi wa Zanzibar kwa ajili ya kujitambulisha upande wa Unguja leo tarehe 9 Agosti 2025.