Na Penina Malundo Timesmajira Online
CHAMA cha Mapindunzi (CCM) Mkoa wa Morogoro, kimeongoza kwa wanachama wengi kumdhamini Rais John Magufuli katika kuwania nafasi ya Urais kwa awamu nyingine kwa kupitia Chama hicho.
Mwenyekiti CCM Mkoa, Innocent Kalogeris amewasilisha takribani Fomu za Wanachama 117,080 kumdhamini Rais leo Mkoani Dodoma alipokuwa akirudisha fomu za kugombea.
Mbali na wadhamini hao waliojitokeza kumdhani Rais Magufuli, pia Mwenyekiti huyo amekabidhi pesa zilizochangwa na wana CCM Mkoa huo, kiasi cha Sh. milioni moja kwa ajili ya kumpa Rais Magufuli.
More Stories
Dkt.Samia azindua jengo la Makao Makuu ya Mahakama,ataka kasi ya utoaji haki iendane na ubora wa jengo hilo
Dkt.Biteko :Mradi wa Kufua umeme wa JNHPP wakamilika rasmi
Msigwa :Wakuu wa mikoa andaeni maeneo ya upandaji miti