Na Mwandishi Wetu, Timesmajira
Katika kutoa hamasa na kuunga mkono timu yetu ya Taifa, Rais wa heshima katika klabu ya Simba SC, Mohammed Dewji amejitolea kununua tiketi 5000, huku wadhamini wa Simba SC AfriCarriers wakinunua tiketi 2000.
Naye Azim Dewji na wafanyakazi wa kampuni yake wamenunua tiketi 1000, yote hiyo ni kuhakikisha mashabiki wanaujaza Uwanja wa Mkapa hapo kesho kuhakikisha Uganda anakufa.

More Stories
Kampeni ‘Kila muamala bao laushindi’ yazinduliwa Zanzibar
Magu bingwa UMITASHUMTA
Washindi ‘Kila muamala bao la ushindi’ wakabidhiwa zawadi