Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt.Wilson Mahera Charles (kulia)akionesha kwa waandishi wa habari jarida la maandalizi ya uchaguzi mkuu 2020 katika ofisi za Tume, Njedengwa jijini Dodoma leo Oktoba 25,2020, wakati akifafanua kuhusu madai ya uwepo wa vituo na wapiga kura hewa katika maeneo mbalimbali nchini ambayo yamekua yakitolewa na vyama vya siasa na wagombea wao. Pamoja nae ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpigakura, Dkt.Cosmas Mwaisobwa. Picha na Mroki Mroki-NEC Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa yua Uchaguzi, Dkt.Wilson Mahera Charles (kulia)akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Tume, Njedengwa jijini Dodoma leo Oktoba 25,2020, kuhusiana na madai ya uwepo wa vituo na wapiga kura hewa katika maeneo mbalimbali nchini ambayo yamekua yakitolewa na vyama vya siasa na wagombea wao Post Views: 1,202 Continue Reading Previous Magufuli atoa ya moyoni kuhusu Kigogo wa zamani wa ChademaNext Wazee wa lugarawa wakerwa tabia ya kubadilisha wabunge jimboni kwao More Stories 2 min read Habari RC Mwanza afanya ziara ya kikazi katika mradi wa uwekezaji jengo la Hotel ya nyota tano wa NSSF May 18, 2024 Jackline Mkota 3 min read Habari Wasichana vinara waiomba serikali kuondoa kodi kwenye taulo za kike May 18, 2024 Judith Ferdnand 1 min read Habari Tigo watoa msaada kwa waathirika wa mafuriko Karatu May 18, 2024 Jackline Mkota
More Stories
RC Mwanza afanya ziara ya kikazi katika mradi wa uwekezaji jengo la Hotel ya nyota tano wa NSSF
Wasichana vinara waiomba serikali kuondoa kodi kwenye taulo za kike
Tigo watoa msaada kwa waathirika wa mafuriko Karatu