Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Hamza Johari akiwa pamoja na Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Uchukuzi wakifuatilia uwasilishwaji wa hotuba ya makadirio ya bajeti ya Wizara ya ya Uchukuzi kwa mwaka 2024/2025 inayowasilishwa na Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa, Bungeni, Dodoma.
More Stories
Tanzania yapeleka wanajeshi 74 kulinda Amani Lebanon
Watatu wafariki,44 wajeruhiwa katika ajali wakitoka kuzika
Wakulima wa Mwani Zanzibar kunufaika huduma za kidijitali