Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Newala Mjini, George Mkuchika amewahimiza wananchi wa jimbo hilo kujitokeza kupiga kura wakati wa uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika oktoba mwaka huu, Mkuchika alisema hayo wakati akizungumza na wananchi wa Vijiji vya Mkoma na Imani vilivyopo katika jimbo hilo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika jumanne jioni kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mkoma, pia Mkuchika alielezea maendeleo yaliyofanywa Serikali ya Awamu ya Tano kwa nchi nzima ikiwa ni pamoja na katika Jimbo la Newala Mjini.




More Stories
Washindi ‘kila muamala bao la ushindi’ waendelea kupeta
TMA yaeleza faida taarifa hali ya hewa
Wananchi wapata elimu ubora,usalama na bidhaa