Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Newala Mjini, George Mkuchika amewahimiza wananchi wa jimbo hilo kujitokeza kupiga kura wakati wa uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika oktoba mwaka huu, Mkuchika alisema hayo wakati akizungumza na wananchi wa Vijiji vya Mkoma na Imani vilivyopo katika jimbo hilo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika jumanne jioni kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mkoma, pia Mkuchika alielezea maendeleo yaliyofanywa Serikali ya Awamu ya Tano kwa nchi nzima ikiwa ni pamoja na katika Jimbo la Newala Mjini.
More Stories
Waislamu wamuombea dua Rais Samia,wasisitiza umoja
Samia: Serikali imejifunza somo kuporomoka ghorofa
Wanachama CCM Kata ya Rujewa wajitokeza kufanya usafi kituo cha afya