May 19, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Magufuli alivyowasili Dodoma kuchukua fomu

Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Magufuli alivyowasili kuchukua fomu za kugombea Urais katika makao Makuu ya NEC-Dodoma.

Rais Dk. John Magufuli leo Alhamisi Agosti 06, alivyochukua fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa muhula wa pili kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Makao Makuu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), yaliyopo Njedengwa jijini Dodoma.