







Matukio mbalimbali katika picha kwenye maadhimisho ya sherehe za miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.Sherehe za Muungano hufanyika Aprili 26 ya kila mwaka tangu mwaka 1964 zilipoungana Tanganyika na Zanzibar ambapo mwaka huu zimefanyika Kitaifa katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam.
More Stories
Ussi awataka wananchi Handeni kulinda miundombinu ya maji
Wapambe waanza rafu za uchaguzi Morogoro Mjini
Daraja la J.P.Magufuli kuzinduliwa Juni 19,2025