Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt . Philip Mpango akikata utepe kuzindua andiko la kampeni kabambe ya kitaifa ya uhifadhi na usafi wa mazingira kwenye Maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani nchini yaliyofanyika jana katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center Jijini Dodoma. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akikagua bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na UNIDO wakati wa Maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani yaliyofanyika jana katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center Jijini Dodoma. Baadhi ya Mabalozi wa Mazingira Haji Manara na Yvone Cherry Maarufu kama Monalisa wakiwa katika maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani yaliyofanyika jana katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center Jijini Dodoma. Post Views: 801 Continue Reading Previous Rais Samia aagana na Balozi wa ChinaNext Nishati mbadala kuhifadhi mazingira More Stories Habari Upungufu wa maji Mji Korogwe, HTM waeleza mikakati yao February 1, 2025 zena chitwanga Habari Kitaifa Uwekezaji ufanyike maporomoko ya maji Kalambo February 1, 2025 joyce kasiki Habari Envirocare yatoa mafunzo ya Demokrasia,Uchaguzi kwa vijana 40 February 1, 2025 Penina Malundo
More Stories
Upungufu wa maji Mji Korogwe, HTM waeleza mikakati yao
Uwekezaji ufanyike maporomoko ya maji Kalambo
Envirocare yatoa mafunzo ya Demokrasia,Uchaguzi kwa vijana 40