Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt . Philip Mpango akikata utepe kuzindua andiko la kampeni kabambe ya kitaifa ya uhifadhi na usafi wa mazingira kwenye Maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani nchini yaliyofanyika jana katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center Jijini Dodoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akikagua bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na UNIDO wakati wa Maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani yaliyofanyika jana katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center Jijini Dodoma.Baadhi ya Mabalozi wa Mazingira Haji Manara na Yvone Cherry Maarufu kama Monalisa wakiwa katika maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani yaliyofanyika jana katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center Jijini Dodoma.
More Stories
Tucta kuzindua kituo cha msaada kwa wafanyakazi wahamiaji Juni 11
Wanasiasa washauriwa kujikita kwenye masuala ya maendeleo
Watakiwa kuimarisha huduma za ushauri vyuoni