




Umoja wa wakimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa kama wanavyoonekanwa picha ni hawapo nyuma katika mapokezi ya ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi yaliyofanyika leo mara alipowasili akitokea Dodoma alikoteuliwa na Mkutano wa Halmashauri Mkuu ya CCM Taifa (NEC)[Picha na Ikulu] 
Vijana wa Kikundi cha CCM wakipiga Ngoma katika shamra shamra za mapokezi ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi yaliyofanyika leo mara alipowasili akitokea Dodoma alikoteuliwa na Mkutano wa Halmashauri Mkuu ya CCM Taifa (NEC)[Picha na Ikulu] 
Baadhi ya Wazee wakisoma Gazeti ya Uhuru toleo Maalum linalohusu Maendeleo ya Tanzania katika viwanja vya Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui wakati wa mapokezi ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi yaliyofanyika leo mara alipowasili akitokea Dodoma alikoteuliwa na Mkutano wa Halmashauri Mkuu ya CCM Taifa (NEC)[Picha na Ikulu] 
Wananchi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar wakiwa katika viwanja vya Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui wakati wa mapokezi ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi yaliyofanyika leo mara alipowasili akitokea Dodoma alikoteuliwa na Mkutano wa Halmashauri Mkuu ya CCM Taifa (NEC)[Picha na Ikulu]

More Stories
Vijana 168,657 wanufaika na programu ya Uanagenzi
Dkt.Gwajima avipika vikosi kazi MTAKUWWA
Aweso aonya watumishi wazembe, ataka matokeo sekta ya Maji