Na Jackline Martin, TimesMajira Online
Leo Katibu wa NEC, Itikadi, uenezi na mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, ametembelea Kaburi la Hayati Rais John Pombe Magufuli.
Hii ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika mikoa ya Kanda ya ziwa iliyoanza Novemba 9 mwaka huu.
Post Views: 289
More Stories
TAKUKURU Kagera yaokoa zaidi ya milioni 52.6
Na Israel Mwaisaka,Rukwa
Madiwani Ilala walia na dampo la Pugu