Na Jackline Martin, TimesMajira Online
Leo Katibu wa NEC, Itikadi, uenezi na mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, ametembelea Kaburi la Hayati Rais John Pombe Magufuli.
Hii ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika mikoa ya Kanda ya ziwa iliyoanza Novemba 9 mwaka huu.
Post Views: 240
More Stories
Waislamu wamuombea dua Rais Samia,wasisitiza umoja
Samia: Serikali imejifunza somo kuporomoka ghorofa
Wanachama CCM Kata ya Rujewa wajitokeza kufanya usafi kituo cha afya