Na Jackline Martin, TimesMajira Online
Leo Katibu wa NEC, Itikadi, uenezi na mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, ametembelea Kaburi la Hayati Rais John Pombe Magufuli.
Hii ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika mikoa ya Kanda ya ziwa iliyoanza Novemba 9 mwaka huu.
Post Views: 263
More Stories
TRC yakamilisha majaribio ya mabehewa ya mizigo ya SGR
TMA yatoa tahadhari uwepo wa Kimbunga “JUDE”
PPRA yawanoa Wakaguzi wa Ndani matumizi Mfumo wa NeST