Na Jackline Martin, TimesMajira Online
Leo Katibu wa NEC, Itikadi, uenezi na mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, ametembelea Kaburi la Hayati Rais John Pombe Magufuli.
Hii ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika mikoa ya Kanda ya ziwa iliyoanza Novemba 9 mwaka huu.
Post Views: 454
More Stories
REA yagawa mitungi ya gesi Chamwino
Ileje yatangaza kibano wasio na vyoo bora
JKT yapokea matumizi nishati safi,yaipongeza TPDC