Na Jackline Martin, TimesMajira Online
Leo Katibu wa NEC, Itikadi, uenezi na mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, ametembelea Kaburi la Hayati Rais John Pombe Magufuli.
Hii ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika mikoa ya Kanda ya ziwa iliyoanza Novemba 9 mwaka huu.
Post Views: 516
More Stories
Wakulima Kanda ya Kati wavuna na Mixx
Ndejembi awasha umeme Mwanubi Shinyanga
Bima ya mazao kuwa kinga kwa wakulima