Na Jackline Martin, TimesMajira Online
Leo Katibu wa NEC, Itikadi, uenezi na mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, ametembelea Kaburi la Hayati Rais John Pombe Magufuli.
Hii ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika mikoa ya Kanda ya ziwa iliyoanza Novemba 9 mwaka huu.
Post Views: 470
More Stories
Nmb yazindua kadi inayorahisisha upatikanaji wa mitaji
Ndejembi: Bomba la mafuta EACOP lafikia hatua za mwisho
Pedima ang’ara kimataifa,Tuzo za Ubunifu