Na Jackline Martin, TimesMajira Online
Leo Katibu wa NEC, Itikadi, uenezi na mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, ametembelea Kaburi la Hayati Rais John Pombe Magufuli.
Hii ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika mikoa ya Kanda ya ziwa iliyoanza Novemba 9 mwaka huu.
Post Views: 438
More Stories
Mwenge wapita nyasa,wazindua mradi wa REA
Mwenge wazindua mradi wa bil.4 Nyasa
Serikali ya Samia yaleta mageuzi ya elimu Tarime vijijini