Na Jackline Martin, TimesMajira Online
Leo Katibu wa NEC, Itikadi, uenezi na mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, ametembelea Kaburi la Hayati Rais John Pombe Magufuli.
Hii ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika mikoa ya Kanda ya ziwa iliyoanza Novemba 9 mwaka huu.
Post Views: 455
More Stories
Mageuzi sekta ya afya yanategemea ushirikiano sekta ya Umma, Binafsi
REA yagawa mitungi ya gesi Chamwino
Ileje yatangaza kibano wasio na vyoo bora