Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman, amehudhuria Uzinduzi wa Huduma za Kampuni ya Usafirishaji ya DNATA hapo ‘Terminal 3’, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Kiembesamaki, Unguja.

Hafla hio iliyofanyika leo Januari 26, 2023 imeongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi.
More Stories
Waziri Mavunde azindua taarifa ya uchambuzi uongezaji thamani madini muhimu nchini
Mdiwani Bumbuli wataka jitihada ziongezwe ukusanyaji mapato
Mke wa Rais wa Msumbiji,Gueta atembelea JKCI