Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman, amehudhuria Uzinduzi wa Huduma za Kampuni ya Usafirishaji ya DNATA hapo ‘Terminal 3’, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Kiembesamaki, Unguja.

Hafla hio iliyofanyika leo Januari 26, 2023 imeongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi.
More Stories
Rungwe yajenga soko kukuza uchumi kwa wananchi
Waislamu Mwanza wapokea Ramadhani kwa maandamano ya kidini
Kamati ya kudumu ya Bunge ya utawala,katiba na sheria yaridhishwa ujenzi soko Kariakoo