Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Alhaj Othman Masoud Othman, leo Julai 1,2022 amejumuika na Waumini mbalimbali wa Kiislamu, katika Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika Masjid Rahman, Msikiti uliopo Tomondo Mkoa wa Mjini Magharib Unguja. Post Views: 355 Continue Reading Previous Waandishi wa Habari waelimishe jamii juu ya athari za madawa ya kulevyaNext TARURA Tanga yakabidhi kazi ya ukusanyaji ushuru wa maegesho ya vyombo vya usafiri kwa Jiji la Tanga More Stories Habari Matukio katika picha wahitimu Chuo cha Ulinzi July 21, 2026 zena chitwanga Habari Waziri Ndejembi azindua mradi wa njia ya kusafirisha Umeme, Masasi hadi Newala July 21, 2026 Penina Malundo Habari Serikali yatangaza neema kwa wakulima July 21, 2026 Penina Malundo
More Stories
Matukio katika picha wahitimu Chuo cha Ulinzi
Waziri Ndejembi azindua mradi wa njia ya kusafirisha Umeme, Masasi hadi Newala
Serikali yatangaza neema kwa wakulima