April 25, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ajumuika na Waumini katika Ibada ya Sala ya Ijumaa

Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Alhaj Othman Masoud Othman, leo Julai 1,2022 amejumuika na Waumini mbalimbali wa Kiislamu, katika Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika Masjid Rahman, Msikiti uliopo Tomondo Mkoa wa Mjini Magharib Unguja.