Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mbeya leo Agosti 10, 2023 imetupilia mbali maombi yote sita ya walalamikaji waliofungua ya kupinga mkataba wa uwekezaji katika Bandari ya Dar es salaam
Walifungua kesi hiyo dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi na Katibu Mkuu wa wizara hiyo.
Kesi hiyo ilitajwa kwa mara ya kwanza mahakamani hapo Julai 3 na ikaanza kusikilizwa Julai 20, mwaka huu.

More Stories
Kawaida: Ulinzi wa miundombinu usisubiri vyombo vya dola
Wajasiriamali 1,300 wanufaika na mradi wa INCLUCITIES
Mixx, ZANGOF kuziwezesha Asasi za kiraia Zanzibar