Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimfariji Mjane wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Mzee Benjamin William Mkapa Mama Anna Mkapa nyumbani kwa Marehemu Masaki jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli
More Stories
CRDB yazindua matawi Majimoto, Ilula kuwahudumia wananchi
JKT laita vijana wa kujitolea,latahadharisha wananchi dhidi ya matapeli
CCM yapongeza hotuba ya Rais Samia