June 1, 2026

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Magombana achukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Ulanga

Na Mwandishi wetu,Timesmajira

KADA wa Chama cha Mapinduzi CCM,Andrew Magombana amefika kwenye Ofisi ya Chama hicho wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro leo Juni 30, 2025 kuchukua fomu ya kugombea Ubunge kwenye Jimbo la Ulanga kupitia CCM.