Ratiba ya ligi kuu imekwishatoka huku mechi mbali mbali ngumu na nyepesi zikitegemewa kurindima kwa miezi tisa. Kwa upande wa Azam wao wataanza na Polisi Tanzania tarehe 7 huku mchezo wa kwanza na Yanga utapigwa tarehe 15 Novemba na mchezo wa pili utapigwa tarehe 04 April.
Klabu hiyo itacheza mchezo wake wa kwanza dhdi ya Simba tarehe 27 Disemba huku mchezo wa pili itacheza nao tarehe 10 mwezi mei mwaka 2021. JMechi hizi zote zitapigwa dimba la Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam


More Stories
TFF yatinga na safu tatu mpya
Mkazi Kisarawe ashinda Mil. 100, Kampeni ya ‘Tunasherehekea Pamoja’
Ajinyakulia Mil. 5/- Kampeni ya Yas ‘tunasherehekea mwaka mmoja’