Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya uthibiti ubora mashuleni wakiimba wimbo wa Taifa mara tu baada ya mgeni rasmi, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Profesa Carolyn Nombo, kuingia kumbini kwa ajili ya kufunga mafunzo ya siku tatu ambayo yametolewa na Wizara kwa walimu zaidi ya 11,850 nchini. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu,Profesa Carolyn Nombo akifunga mafunzo ya uthibi ubora mashuleni kwa walimu wakuu wa shule na waratibu elimu kata wa halmashauri zote mbili za Wilaya ya Songea. Mafunzo hayo ambayo yametolewa na Wizara ya elimu yamelenga kuzijengea uwezo juu ya utekelezaji wa majukumu yao. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Wlimu Profesa Carolyn Nombo akiwapungia mkono washiriki wa mafunzo ya uthibiti ubora wa elimu mashuleni, ambapo mafunzo hayo yalitolewa kwa walimu wakuu wa shule na waratibu elimu kata wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma. Zaidi ya walimu 11 850 wamepatiwa mafunzo hayo nchini. Picha zote Cresensia Kapinga. Post Views: 755 Continue Reading Previous Mtaka:TOC wasaidieni wachezaji wanaichipukia wajitambueNext Majaliwa aipongeza Timu ya Bunge kwa kuibuka na makombe saba More Stories 3 min read Habari Vijiji vya Majani Mapana na Kwamwazala kupata maji ya uhakika April 18, 2024 Judith Ferdnand 2 min read Habari Zeche aikimbia CHADEMA ahamia CCM April 18, 2024 Judith Ferdnand 2 min read Habari DC Mpogolo awataka walimu wakuu kutoa taarifa za walimu wenye maadili mabovu April 18, 2024 Jackline Mkota
More Stories
Vijiji vya Majani Mapana na Kwamwazala kupata maji ya uhakika
Zeche aikimbia CHADEMA ahamia CCM
DC Mpogolo awataka walimu wakuu kutoa taarifa za walimu wenye maadili mabovu