Na Agnes Alcardo,Timesmajira Online.
MGOMBEA Udiwani kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Selemani Kaniki, leo amejitokeza katika Ofisi za Kata ya Zingiziwa kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya udiwani kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.
Kaniki amepokelewa na makada pamoja na wafuasi wa CCM waliokuwa wakimsubiri kwa muda mrefu leo.
Tukio hilo lilihudhuriwa pia na viongozi wa chama ngazi ya kata, mashina na wanachama mbalimbali, hali iliyodhihirisha mshikamano wa kijamii katika kumuunga mkono juhudi za CCM.





More Stories
Bilioni 7 kuwainua vijana 308 sekta ya uvuvi
Clara:Miaka 50 ya Sabasaba fursa mpya za Biashara na Uwekezaji
Usajili wa Laini za Simu: Jilinde Dhidi ya Kutumiwa Vibaya kwa Utambulisho Wako