







Picha zikionesha matukio mbalimbali ya mkutano wa kwanza wa Kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu (akiwasili, akipokelewa, akihutubia na wananchi wakifuatilia kwa namna mbalimbali) mkutano uliofanyika mapema asubuhi leo (Jumatano, Septemba 16, 2020), katika Uwanja wa Mlimareli, Mbalizi, mkoani Mbeya.
More Stories
Dkt.Samia ahimiza wananchi kujitokeza kujiandikisha
Prof.Ndakidemi ashauri selimundu itibiwe bure
SGR yaiweka Tanzania Katika Ramani ya Usafirishaji wa Kisasa