







Picha zikionesha matukio mbalimbali ya mkutano wa kwanza wa Kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu (akiwasili, akipokelewa, akihutubia na wananchi wakifuatilia kwa namna mbalimbali) mkutano uliofanyika mapema asubuhi leo (Jumatano, Septemba 16, 2020), katika Uwanja wa Mlimareli, Mbalizi, mkoani Mbeya.
More Stories
Utafiti na Teknolojia matibabu ya magonjwa adimu wasisitizwa
Wadau wakutana kwa tathimini maendeleo ya Elimu
Naibu Waiziri Chumi Akutana na Balozi wa Norway