Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Yusuph Mwenda amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Bw. Plasduce Mbossa.
katika mazungumzo hayo walijadili namna ya kuboresha uhusiano wa TRA na TPA na kuendelea kufanya kazi kwa pamoja na kwa karibu zaidi ili kuimarisha utendaji kazi kwa taasisi zote mbili.
Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 31.07.2024 katika ofisi Kuu za TPA jijini Dar es Salaam.
More Stories
UDSM wakabidhi matundu 13 ya choo shule ya msingi Changanyikeni
CCM yapongeza hotuba ya Rais Samia
Halmashauri 12 zapatiwa mafunzo ya mfumo wa e-Board