Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online
MSANII wa muziki wa Bongo fleva na Bosi wa Kondegang, Rajab Abdul maarufu kama’Harmonize’ anatarajia kufanya zira ya mziki nchini Marekani kuanzia Semptemba 3 hadi Oktoba 23 mwaka huu.
Akiweka wazi hilo kupitia kwenye Ukurasa wake wa Instagram Harmonize amesema, ziara hiyo itaanzaia Semptemba 3 katika mji wa Hauston, Septemba 4-Ohio, Semptemba5-Minnessota, Septemba 18- Phoenix na Septemba 23 hadi 25 katika jiji la Las Vegas.
Harmonize amesema, ziara hiyo pia itafanyika mwezi Oktoba ambapo Oktomba mosi itafanyika New York, Oktoba 9- Los Angeles, Oktoba 16- Salt Lake City, Oktoba 22- Atlanta na Oktoba 23 itafanyika Syracuse, New York.
More Stories
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakiburudika kusubiri Uzinduzi Ilani ya CCM 2025-2030
Mwanamitindo Millen Magese apewa kibali kuandaa Miss Universe Tanzania 2025
Pacha Milionea waja na truck mpya “Nyumbani”