Na Mwandishi Wetu, TimesMajira,Online
MWENYEKITI wa BAWACHA Taifa, Sharifa Sulleman, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, kuangalia kwa jicho la tatu kesi inayowakabili wabunge 19 wa chama hicho.
Sharifa ametoa kauli hiyo kupitia hotuba yake ya BAWACHA kwenye kongamano la Siku ya Wanawake Duniani, ambapo Rais Samia alikuwa mgeni rasmi.

More Stories
FAO yawataka wakulima kuzingatia kanuni bora za ufugaji
Wakulima waliowezeshwa na TADB waeleza mafanikio yao nanenane
TanTrade kuimarisha ushirikiano wa kibiashara kati ya Tanzania,Serbia