Na Mwandishi Wetu, TimesMajira,Online
MWENYEKITI wa BAWACHA Taifa, Sharifa Sulleman, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, kuangalia kwa jicho la tatu kesi inayowakabili wabunge 19 wa chama hicho.
Sharifa ametoa kauli hiyo kupitia hotuba yake ya BAWACHA kwenye kongamano la Siku ya Wanawake Duniani, ambapo Rais Samia alikuwa mgeni rasmi.

More Stories
Mfanyabiashara,vibarua mbaroni wakituhumiwa kuchimba mahandakiÂ
Silinde azindua baraza la sita la Wafanyakazi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
NMB ilivyosaidia Serikali kukusanya zaidi ya Sh trilioni 9.8