Na Mwandishi Wetu, TimesMajira,Online
MWENYEKITI wa BAWACHA Taifa, Sharifa Sulleman, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, kuangalia kwa jicho la tatu kesi inayowakabili wabunge 19 wa chama hicho.
Sharifa ametoa kauli hiyo kupitia hotuba yake ya BAWACHA kwenye kongamano la Siku ya Wanawake Duniani, ambapo Rais Samia alikuwa mgeni rasmi.
More Stories
Apandishwa kizimbani kwa tuhuma za kufanya mapenzi na mtoto wake
TANAPA kuboresha miundombinu Hifadhi ya Taifa Ibanda- Kyerwa
Benki ya NMB yapata idhini kuwa wakala wa madalali wa Soko la Hisa Dar es Salaam