Na Mwandishi Wetu, TimesMajira,Online
MWENYEKITI wa BAWACHA Taifa, Sharifa Sulleman, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, kuangalia kwa jicho la tatu kesi inayowakabili wabunge 19 wa chama hicho.
Sharifa ametoa kauli hiyo kupitia hotuba yake ya BAWACHA kwenye kongamano la Siku ya Wanawake Duniani, ambapo Rais Samia alikuwa mgeni rasmi.
More Stories
Yas yatoa huduma bure matibabu ya macho Tanga
Boshe:ALF imekutana kutambua Maendeleo Endelevu ya Bara la afrika
Kikwete:Afrika yazidi kusonga mbele,mafanikio kuanza kuonekana