Na Mwandishi Wetu, TimesMajira,Online
MWENYEKITI wa BAWACHA Taifa, Sharifa Sulleman, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, kuangalia kwa jicho la tatu kesi inayowakabili wabunge 19 wa chama hicho.
Sharifa ametoa kauli hiyo kupitia hotuba yake ya BAWACHA kwenye kongamano la Siku ya Wanawake Duniani, ambapo Rais Samia alikuwa mgeni rasmi.
More Stories
AI Spam Filter na Usalama wa Data Zako
Bodi ya Ithibati yasisitiza Waandishi wa Habari kuweka vyeti vya kitaaluma katika mfumo wa Tai-Habari
REA yahamasisha wananchi kutumia Mkaa Mbadala