Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Japhet Justine (kushoto), alipoitembelea benki hiyo jana jijini Dar es Salaam kuzungumzia uwekezaji na maendeleo ya kilimo ya mkoa wa Ruvuma.
More Stories
TANESCO yabaini matukio ya Wizi wa Umeme Kinondoni
DCEA yazindua klabu kupinga dawa za kulevya vyuoni
Serikali yaimarisha uhimilivu bei za mafuta nchini