Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Japhet Justine (kushoto), alipoitembelea benki hiyo jana jijini Dar es Salaam kuzungumzia uwekezaji na maendeleo ya kilimo ya mkoa wa Ruvuma.
More Stories
Rais Samia asifu juhudi za Nishati Safi ya Kupikia
Gereza kwamngumi lamkabidhi aliyekuwa mfungwa vifaa vya ujenzi
FCC yaongeza mkakati kudhibiti bidhaa bandia