Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Japhet Justine (kushoto), alipoitembelea benki hiyo jana jijini Dar es Salaam kuzungumzia uwekezaji na maendeleo ya kilimo ya mkoa wa Ruvuma.
More Stories
Zambia yapongeza mafanikio ya Tanzania Sekta ya Umeme
Miradi ya elimu kunufaika na Mil. 847
NMB, UNCDF wafungua njia mpya kwa kampuni changa za kidijitali