Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Japhet Justine (kushoto), alipoitembelea benki hiyo jana jijini Dar es Salaam kuzungumzia uwekezaji na maendeleo ya kilimo ya mkoa wa Ruvuma.
More Stories
Waziri Silaa ashiriki kupandisha vifaa ujenzi wa Mnara wa mawasiliano Idete
Waziri Silaa aelekeza Minara yote 758 kuwashwa ifikapo Mei 12,2025
Wananchi Vunjo watatua kero ya barabara,wataka zahanati yao